Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Viajana, Ajira na
Walemavu, Jenista Mhagama akizungumza wakati wa Mkutano wa kupokea
taarifa ya Shirikisho la Mifuko ya Hifadhi za Jamii nchini (TSSA), juu
ya hatua iliyofikiwa na Mifuko hiyo katika ukuzaji Uchumi na ujenzi wa
Viwanda nchini, uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa LAPF Mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki.
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mifuko ya Hifadhi za Jamii nchini (TSSA), Meshach Bandawe akizungumza
wakati wa Mkutano wa kutoa taarifa kwa Serikali juu ya hatua iliyofikiwa na Shirikisho hilo katika
ukuzaji Uchumi na ujenzi wa Viwanda nchini, uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa LAPF Mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof. Godius
Kahyarara ambaye pia ni Mjumbe wa Shirikisho hilo, akichangia mada
katika Mkutano wa kupokea taarifa ya Shirikisho la Mifuko ya Hifadhi za
Jamii nchini (TSSA), juu ya hatua iliyofikiwa na Mifuko hiyo katika
ukuzaji Uchumi na ujenzi wa Viwanda nchini, uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa LAPF Mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...